Hizi biashara za mtandaoni sitaki ata kuzisikia.Biashara ni nyingi sana ila inategemea na ipi utaipenda kuifanya ila mie nakushaur njoo
Pm tuongelee biashara ya forex market yenye return 10% up to 20% kwa wiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo yenu tafadhali: nitafanya biashara gani nzuri na ya uhakika kwa mtaji wa TSh. 50M -100M?
Kaka ingekuwa mm ndio Nina mtaji Kama huo nisingeumiza kichwa ningeanzisha duka la vifaa vya ujenzi(hardware).Mawazo yenu tafadhali: nitafanya biashara gani nzuri na ya uhakika kwa mtaji wa TSh. 50M -100M?
Asante sana mkuuKaka ingekuwa mm ndio Nina mtaji Kama huo nisingeumiza kichwa ningeanzisha duka la vifaa vya ujenzi(hardware).
Duka la vifaa vya ujenzi halina hasara nawaona watu wengi wanatajirika kupitia biashara hii na Tena wengine walianzia mitaji midogo tu chini ya milioni 20 na wametoboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta sehem yenye nafasi kubwa na frem mbili.A
Asante sana mkuu