Natafuta biashara ya kufanya ya mtaji wa Mil 5

Hahhahahaha hapo uwezi elewa hizo fedha anazotunza zina ufafanuzi yaani hapo Kuna zile za fine na zingine siwezi kukuelewsha kirahisi Ila jua mambo hayako Kama unavoyaona
Shukrani nadhani utampa muongozo kama ataipenda mimi sina uzoefu nayo
 
Hapa umegusa nying muhmu na za maisha yetu ya kila siku.
Ni yeye sasa atulize kichwa aone fursa katika zote hizo
 
Mkuu lazima atumie jini la kusababisha mkopaji hashindwe kuacha kukopa kwasababu zile pesa wanazo kopesha zina waongezea matatizo wakopaji hazitatui tatizo ila ukishakopa tu kabla ujaanza kulipa utaanza kupata matatizo mara mtoto kavunjika mguu mara mdogo wako yupo Selo mara mama ana umwa
 
Hata haitaji jini, ukishakua mkopaji kuacha ni ngumu.
 
Hata haitaji jini, ukishakua mkopaji kuacha ni ngumu.
Ndiyo maana nimekwambia wakopeshaji wanakupa pesa ambazo hazitatui shida zako ila zinaongeza matatizo yako, pesa zao zinakuwa za majini
 
N kwl
 
Ila Wanajamii wengne humu mnazingua mtu yupo serioul anajua atapata msaada wenu nyi mnaleta jokes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…