Natafuta binti aliyefeli form four

kutwamara3

Senior Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
170
Reaction score
27
Natafuta binti ambaye hakufaulu form 4 ambaye natarajia kumuoa pindi atakapopatikana,pia mpango wa kumuendeleza kimasomo ninao.Alie tayari aniPM
 
Natafuta binti ambaye hakufaulu form 4 ambaye natarajia kumuoa pindi atakapopatikana,pia mpango wa kumuendeleza kimasomo ninao.Alie tayari aniPM

Kwa nini aliyefeli, ili umnyanyase? unaogopa binti msomi? Una matatizo ya problem
 
Sio hvyo nataka kumsaidia,Najua mwaka huu majanga.
 
Nipo tena umenipata. Nilifeli fomu foo mwaka 1990. Tuwasiliane pulizi.

Asante...
 
Sio hvyo nataka kumsaidia,Najua mwaka huu majanga.

Kwa nini usiwasaidie watoto wa mtaani ambao hata shule ya msingi hawajamaliza kwa sababu ya kukosa ada na matumizi mengine ya shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…