natafuta binti ambaye atakuja kuwa mke wangu later............

natafuta binti ambaye atakuja kuwa mke wangu later............

Slaker

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
237
Reaction score
31
:high5:mambo .....wana love connect......
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23,,,,,,natafuta binti asiyezidi miaka 22,ambaye atakuja kuwa mke wangu.
awe na dini muislamu,kabila lolote.....siyo mrefuuu sana ,awe na umbo la kike.
ni hayo tu na wasilishaa:msela:
 
Mgegedaji mkubwa wewe.Umeacha kusoma unaanza mapenzi tena unatafuta wa kwenye mtandao.NGONO ZITALAZA WENGI SANA UDONGONI.
 
Mgegedaji mkubwa wewe.Umeacha kusoma unaanza mapenzi tena unatafuta wa kwenye mtandao.NGONO ZITALAZA WENGI SANA UDONGONI.

jamaaa wewe kusoma ndo umeona deal mwenyewe.......
am 23 now,,,,,na ninagongaa degree katika Chuo kikuu fulani hapa tz......unataka nini sasa...
shule si hiyoooo.........................
 
Back
Top Bottom