Natafuta binti anayejiheshimu na ambaye yupo tayari kuolewa kwa sasa

Natafuta binti anayejiheshimu na ambaye yupo tayari kuolewa kwa sasa

e2n

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2015
Posts
637
Reaction score
793
Habari wana MMU. Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa.

Mimi ni kijana Nina miaka 28. Natafuta binti anayejiheshimu na ambaye yupo tayari kuolewa kwa sasa.

Dini yangu mm ni mkristo na nataka awe mkristo kama Mimi na awe na umri wa 22_26.

Nimefikia uamuzi kuandika humu maana humu niliko sio kwamba mabinti hawapo hasha. Ila tatizo nilipo huku wengi ni Islam na nimejaribu kufanya nao mahusiano ila dini ndio imekuwa tatizo. Kila nanaye mpata tunashindwana na kubadili hawataki na mm siwezi badili.

Kama uko serious ni pm.
 
Habari wana MMU. Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa.

Mimi ni kijana Nina miaka 28. Natafuta binti anayejiheshimu na ambaye yupo tayari kuolewa kwa sasa.

Dini yangu mm ni mkristo na nataka awe mkristo kama Mimi na awe na umri wa 22_26.

Nimefikia uamuzi kuandika humu maana humu niliko sio kwamba mabinti hawapo hasha. Ila tatizo nilipo huku wengi ni Islam na nimejaribu kufanya nao mahusiano ila dini ndio imekuwa tatizo. Kila nanaye mpata tunashindwana na kubadili hawataki na mm siwezi badili.

Kama uko serious ni pm.
Umejaribu wangapi? Naona hujataja! Afu kumbuka kuoa siyo kujaribu, tens ajilete PM mazima!! All the best, usisahau mrejesho mkuu
 
Umejaribu wangapi? Naona hujataja! Afu kumbuka kuoa siyo kujaribu, tens ajilete PM mazima!! All the best, usisahau mrejesho mkuu
Asante kwa ushauri
 
Habari wana MMU. Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa.

Mimi ni kijana Nina miaka 28. Natafuta binti anayejiheshimu na ambaye yupo tayari kuolewa kwa sasa.

Dini yangu mm ni mkristo na nataka awe mkristo kama Mimi na awe na umri wa 22_26.

Nimefikia uamuzi kuandika humu maana humu niliko sio kwamba mabinti hawapo hasha. Ila tatizo nilipo huku wengi ni Islam na nimejaribu kufanya nao mahusiano ila dini ndio imekuwa tatizo. Kila nanaye mpata tunashindwana na kubadili hawataki na mm siwezi badili.

Kama uko serious ni pm.
Samahani Mkuu, naomba nijue upo mkoa gani maana kuna kitu kwenye sentensi zaako za mwisho umekiongea nahisi chaweza kuwa advantage kwangu.

Usipojari unaweza kunipm
 
Habari wana MMU. Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa.

Mimi ni kijana Nina miaka 28. Natafuta binti anayejiheshimu na ambaye yupo tayari kuolewa kwa sasa.

Dini yangu mm ni mkristo na nataka awe mkristo kama Mimi na awe na umri wa 22_26.

Nimefikia uamuzi kuandika humu maana humu niliko sio kwamba mabinti hawapo hasha. Ila tatizo nilipo huku wengi ni Islam na nimejaribu kufanya nao mahusiano ila dini ndio imekuwa tatizo. Kila nanaye mpata tunashindwana na kubadili hawataki na mm siwezi badili.

Kama uko serious ni pm.
Vizur ila ni poa ukienda kijiji maana hawa wa choklet na barger ni tabuu
 
Ukipata ulete mrejesho , pia card za mualiko usitusahau mzee Baba
 
Back
Top Bottom