Wew unae?Kila la kheri brother..Mungu akupe hitaji la Moyo wako
Wengi sana paha ninafanya vetting.Wewe ushapata ?
Ha haaaDuh, Mara tatu huyo CV yake mbona inatisha sasa. Au hadi wafike saba kama yule aliyeulizwa Yesu na Mafarisayo, kuwa wakati wa ufufuo atakua mke wa nani
Ingekuwa rahisi na wewe ungekuwa umeshaolewa.Kanisani, kazini, kwenye usafiri, mtaani huko kote umeshindwa kukutana na bint? Kama una gari jaribu kupanda dala dala kwa mwezi mmoja kwenda na kurudi kazini unaweza kukutana na mwenza huko.
Nipe kazi niwafanyie vettingWengi sana paha ninafanya vetting.
[emoji108] [emoji108] [emoji108]Habari za mda huu wana JF?
Najitokeza hapa nikiwa na dhamila ya kutafuta rafiki wa kike/mpenzi, ambaye tutaoana na kuwa mke na Mme.
Mimi ni Mwajiriwa wa serikali, elimu yangu ni ya Chuo kikuu. Umri miaka 26. Mkristo, na nina mcha Mungu.
Sifa za mwanamke ninaye mtafuta, awe na umri usio zidi miaka 25, awe Mkristo na anae mcha Mungu. Awe na elimu ya kidato cha NNE na kuendelea. Akiwa ndani ya kanda ya ziwa, itapendeza zaidi kwan itakua rahisi kuonana naye kwa lengo la kufahamiana, Mimi nipo Mwanza kikazi.
Kwa binti yeyote mwenye sifa hizo, na mwenye hitaji kama langu la kutafuta mwenza wa maisha, ani PM ili tuzungumze zaidi.
Amina. Na nikwel kabisa unacho kisema mkuu. But baada ya kumuomba Mungu, hatukai kanisani tu tukisubiri, tunatoka nje kutafuta ili naye aweke Baraka zake katika kumpata mke kwel. Hapa ni moja ya mahala ambapo kama yupo, yupo tu haijalishi mmekutana mazingira ganikaka suala l mke inatakiwa umuombe mungu sana akuongoze upate chema vngne itakuwia vgm mungu akutangulie
Wew unae?
Njoo tuyajengesina ila kwa sasa nimejipa likizo
Njoo tuyajenge
Yuko wapi Huyo[emoji28] [emoji28]Dah ,ila sitaki kukutendea baya kaka kila la kheri katika utafutaji "nilitaka nikupe msichana mmoja ila atakusumbua sana ameolewa mara tatu kaachika na ana tabia mbaya kweli ila akiwa mpya kwako utasema malaika huyu alikuwa wapi muda wote huo"
Yupo kwimba- Mwanza.Yuko wapi Huyo[emoji28] [emoji28]