Kwani muislamu,msabato au mlokole sio mtu!?? Ungetaja dhehebu lako tujue wataka wa dini gani,kuna wakatoliki,kkkt,anglican,aict walokole pyuuuaaa
MPE nafasi awe na furaha na anachokitaka,..
Kasema hataki walokole
Atakuwa hajaiona hiyo fursa.Aya Akina Miss natafuta..Fursa zipo Uku.
Ndo maan nasema mwache achague ye ndo anaye oa,..uwez jua kwa nn ameweka ivo vigezo,..
Sijamshika mie,nimetoa maoni yangu tu. No dictatorship here
Ashasema ni mfanyakazi wa mali asili. Kule ni nyoka tu na mijusi na vyura. Sasa mkuu jamaa awowe tumbili mkuu? ???????????Huko unakofanyia kazi hakuna wanawake? hauko serious na maisha kabisa, tafuta mke huko ofisini unakofanyika.
Freeeee,masonKwani muislamu,msabato au mlokole sio mtu!?? Ungetaja dhehebu lako tujue wataka wa dini gani,kuna wakatoliki,kkkt,anglican,aict walokole pyuuuaaa
Porini huwa kuna ofisi mkuu, hayo maeneo nayafahamu sana. Aache ujinga atafute mke wa maana badala ya hawa wanaoshinda kwenye FB.Ashasema ni mfanyakazi wa mali asili. Kule ni nyoka tu na mijusi na vyura. Sasa mkuu jamaa awowe tumbili mkuu? ???????????
Porini huwa kuna ofisi mkuu, hayo maeneo nayafahamu sana. Aache ujinga atafute mke wa maana badala ya hawa wanaoshinda kwenye FB.