Natafuta binti mwenye nia ya kuolewa

Porini huwa kuna ofisi mkuu, hayo maeneo nayafahamu sana. Aache ujinga atafute mke wa maana badala ya hawa wanaoshinda kwenye FB.
Shida kijijini hakuna wanawake/Wadada wa kumenya[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] yeye anataka wa kumenya
 
Mkuu nakushauri uongeze kakigezo kamoja ka muhimu sana nako kanasema
Awe tayari kwa majaribio ya ingini,
Manake unaweza kupata mtu wa vigezo vyako ila huko kwa bibi akawa na rambo halafu wewe una muwa hapo utapwaya tu mkuu na ndoa haitakuwepo tena .
 
kuna jukwaa LA love connect hapa si mahala pake
 
Andika bango kubwa, lishikilie usimame nalo Posta Mpya mida ya saa kumi hadi saa moja utapata application za kutosha.
 
nipo tyr 0744535746
 
Huna lolote hiyo degree yako peleka kijijini kwenu.kwanza unaonekana una njaa so unatafuta unafuu kwa ndoa
 
Huko unakofanyia kazi hakuna wanawake? hauko serious na maisha kabisa, tafuta mke huko ofisini unakofanyika.
Pita kimya.Ma jukwaa mengine hujayaona.Kuitwa Kucha unashinda humu Ili ukosoe.Utaumia sana ndo ivyo.JF wameshaweka jukwaa hilo.Acha Watu wajimwayemwaye..Hutaki. Chimba dawa unywe!
 
Andika bango kubwa, lishikilie usimame nalo Posta Mpya mida ya saa kumi hadi saa moja utapata application za kutosha.
Acha ujingaaa..Yupo mahali sahihi.Na atapata.Sio lazima ukashifu kila kitu
 
Kuna binti mmoja, ni mzuri. Umbo, rangi ya kati, ni msikivu, mvumilivu, mwongeaji sana na ana ajira, ila ni muislam. Nilimshawishi mpaka akakubali kubadili dini anifuate. Ila kabla hatujaendelea nikakutana na binti ambaye ilinilazimu nibadilishe maamuzi.
Mpaka sasa huyo muislam yupo free 23yrs, kama vipi naweza kukuconect.
 
Pita kimya.Ma jukwaa mengine hujayaona.Kuitwa Kucha unashinda humu Ili ukosoe.Utaumia sana ndo ivyo.JF wameshaweka jukwaa hilo.Acha Watu wajimwayemwaye..Hutaki. Chimba dawa unywe!
Una stress siyo bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…