Natafuta Binti wa kazi kwenye Stationery.

Eng. Smasher

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2010
Posts
745
Reaction score
23
Habari wana JF, Nina stationery ipo maeneo ya Sinza Kijiweni.
Natafuta Binti wa kazi mwenye taaluma ya secretarial issues.
Wenye ujuzi huo wani Pm au tuma cv kwenye email address: smasher084@yahoo.com.
 
Weka na mshahara tuangalie unalipa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…