Natafuta binti wa kuanzisha familia


[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asa ningetaka wa tatu unadhani wewe ungekuwa wapi muda huu? Au kwakuwa na mimi wa mitandaoni ungenipiga chini?
Nisingekuweza sijuagi kugombana na mtu. Mtu unakodolewa macho hadi humu mm nijichomeke ntawezaπŸ˜‚ nani afe kwa pressure?
 
Hakunaga neno la kiislam hilo ni neno la kiarabu likiwa na maana asante yapo meng kama marahaba mujarab mashalaaah na nk kiarabu ni lugha kama lugha zingine tu kiarabu sio kiislamu
In sha Allah ni neno la kiarabu lenye maana ya Allah Akijaalia/Akipenda
 
Huu ndo mfano mzuri wa kutafuta mchumba.mtu anaweka mawasiliano inakuwa simple kumtafuta.sio mtu anasema eti nicheki pm, hivi mnajua ni ngumu mwanamke kumfata mwanaume pm? Akifika atasemaje?

Nakuombea upate mke mwema.
Haya sasa changamkia fursa haina haja tena ya kusubiri mahusiano yaliyolegea ujichomeke πŸ˜€πŸƒ
 
Haya sasa changamkia fursa haina haja tena ya kusubiri mahusiano yaliyolegea ujichomeke πŸ˜€πŸƒ
Aaah wapi huyu bado mdogo. Huyu hapana πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu hiyo hapo ni funguo ya Ghetto ???
 
Kuweka picha yako hapa it shows una confidence, which is really good in a man, ningekua enzi zangu zile..ningeshaku PM
 
Hongera kwa ujasiri seza wane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…