Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Busara inahitajika sana tunapojib post ya mtu
Uzuri umesema ww mkristo nimekuelekeza wapi wake wema wanapatikana unaniona mbaya!! Basi yaishe!!
ushauri mkuu..namaanisha jaman i'm not kidding
Busara inahitajika sana tunapojib post ya mtu
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29.mkristo,graduate na nmeajiriwa kwenye kampuni kubwa tu hapa DSM
natafuta msichana ambaye yupo tayari kua mchumba wangu na baadae tufunge pingu za maisha
maombi tuma email kwa
mnyengelembirwa@gmail.com
Inawezekana unamaanisha lakini staili uliyoitumia siyo. Kosa la kwanza: kujitangaza unafanya kazi kampuni kubwa huna tofauti na matapeli wa mtaani ambao wanatumia njia hizo hizo. Kosa la pili: kusema waliotayari watume maombi kwa watu wa saikolojia wanasema huna uhitaji wa dhahiri na ni udhalilishwaji wa jinsia nyingine. Kumbuka mwanamke anahitaji kubembelezwa japo moyoni anakuwa anapenda na ukiwa tayari kujishusha utampata mke mwema. Ndo hayo tu.ushauri mkuu..namaanisha jaman i'm not kidding
jaman si ndo sabab kuna page ya love connect hapa JF..najaribu kutumia njia hii labda ntapata mafanikio