Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
manengelo, Dear.. Hebu Mchek huyu yupo Dar.. Anazo nzuri mno.View attachment 1250335View attachment 1250336
Mbona mnaziita boyfriend wakati mnavaa wadada [emoji848]
Nazipendaga aisee
Kesho kuna mtu atafunguwa uzi kwamba anataka penye inapatikana Girlfriend Jean's
😂😂😂😂Kesho kuna mtu atafunguwa uzi kwamba anataka penye inapatikana Girlfriend Jean's
Hhaaha zimeachia km za kiume..hazitakiw kubana
Nimebahatika kupata 2!...haya nakujaNjoo pm nikuunganishe na mtu anayeuza