natafuta boyfriend


kisha umeongea kwa hasira. mie si nimesema huko mwanzo kuwa tatizo langu ni wivu, TZ TUNAOLEWA WAWILI WAWILI WATATU NA kuendelea, mimi kushare ndo siwezi hata nikijitahidi, ntabadilikaje na wanasema wivu ni kilema, ulishaonaga kilema kikibadilika?
 
Mh! Miaka 40 ni boy? Au ulikuwa unamaanisha mpenzi wa kiume ndo anaitwa boyfriend?, Non citzen? Hebu jitahd kuzungumza kiswahili dada acha kujijengea kasumba mbaya kuwa ukiandika kiingereza chako utaonekana MSOMI(samahani lakini kama nimekukwaza)

watu wengine ni kichef chef kweli, afadhali ungekuwa mwanamke.
kijijini kwenu mnazaliwa na phd nini? mana mimi niko beginner English class na teacher wetu kasema tuwe tunajaribu kuongea na kuandika ndio kujifunza tena hata hao walimu wa walimu huwa wanakosea, hivi kwani kuonekana msomi kunasaidia nini? ndo unapata kila unachotaka au? mbona mko tu mkizurura huko barabarani? ulijuwaje kama nimekosea ikiwa hukuelewa nilichomanisha? samahani kama nimekukwaza.
 

he he he heeeeeee huku kuna raha na kupunguza stress, watu wengine hawajuwi kuvaa uhusika hadi waongee vilowahusu wenyewe, kumbe wewe ndo uliokotewa huko? pole mwaya.
 
Mtu wa miaka 40 asiwe na relation na mwanamke mwingine? Hapo unataka kupata nyoka wa kibisa! Au we utakuwa kipori mpaka unaogopa competition. We jimwage kwa yeyote tu mama.

hivo ni vibweka vya ma star ndo siku hizi wamezidi.
 
Natimiza vigezo vyote ila kimoja tu, ni mmatumbi, mbongo wa hapa hapa. Mhmmm inakuwaje!
 
Mimi nina vigezo vyote. Nina uraia wa America (USA) ila nimezaliwa Tz, sasa naishi karibu SEATAC airport, WA, USA.kuanzia mwezi ujao nitahamia Spokane, WA. Tafadhali nichague mimi.
 

1.Mimi Mganda-kutoka kwa M7
2.Nina miaka 50
3.Mimi Padri nataka kuwa na wewe lakini siyo kukuoa.Je upo tayari.....
 
kwani kutafuta boyfriend ndo kukosa mvuto? sikusema sitongozwi nimesema watanzania wenzangu wamenishinda kwa matatizo mbali mbali ambayo sina uvumilivu nao. i wish ungeniona one day japo njiani tu kuthibitisha usemi wako.

Haya bana, lakini nadhani kukona ni bure au kuna gharama? Kila la kheri, wa kongo pia wanajua kiswahili jaribu na huko.
 

Bibie huzayma, ikiwa unayemtaka akatimiza vigezo vyooote ulivyotoa vipi hutajali hata kama ametoroka msitu wa gombe? anafanana na. . . . . . . au kinywa kinatoa kimteramtera? (anatukana kama lusinde)
 
ious... Nina rafiki yangu anatoka Burundi.... je atakufaa?
 
haina haja ya kuja hapa ungeenda kwenye kambi ya wakmbizi
 

Am 42 now, living in Mogadishu. Ni msomali.
Ni pm we can talk more ili tujuane zaidi. (I hope bila kupingwa nimepita)
 
mi nipo tukianza uchumba mpaka ndoa vigezo vyote vitakuwa tayari. maana naanza kujiswitch nikidhi vigezo. Siku hizi interview huwa wanatoa maswali eeeh candidate gani atafeli?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…