Natafuta Bulk SMS Provider ambaye ana bei nafuu

Natafuta Bulk SMS Provider ambaye ana bei nafuu

Samedi Amba

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2018
Posts
227
Reaction score
178
Wadau!

Natumaini jumatatu yetu imeanza vizuri. Ni buheri wa afya hapa morogoro katika chimbo fulani hivi.

Bila kupoteza muda. Natafuta bulk SMS Provider ambaye bei zake ni nafuu. Kuna jamaa fulani kule kenya wanafanya kwa KES 0.2/sms (Bongo ni sh 3.5 hivi). Sasa wabongo wengi wanachezea TZS 13 mpaka 25, ambazo ni za juu mno.

Asanteni. Siku njema.
 
Nadhani issue inaweza kuwa kwenye cost za serikali, nadhani kuna minimum ambayo hautakiwi kwenda chini zaidi ili na wao wapate revenue yao.
 
Nadhani issue inaweza kuwa kwenye cost za serikali, nadhani kuna minimum ambayo hautakiwi kwenda chini zaidi ili na wao wapate revenue yao.
Asante kwa jibu. Of course advantage ya bongo ni kwamba hatulipii sendernames, kwa hiyo naona wanafaidi kwenye bei ya SMS. Na pia wabongo hawajachangamkia hii fursa kivile.
 
Back
Top Bottom