Natafuta bunduki ya kulindia shamba

Natafuta bunduki ya kulindia shamba

cairnegie

Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
11
Reaction score
5
Habari , napatikana Kisarawe Pwani , kama kichwa cha habari kinavojieleza , kwa aliekua na bunduki ya HALALI, tukutane inbox
 
Hakuna bunduki ya halali wewe ambayo utauziwa na mtu binafsi. Ukitaka bunduki halali, fuata utaratibu uliowekwa na serikali.

Kinyume na hapo, nunua gobore la magendo. Halafu ukikamatwa kwa kuhusishwa na ujangili, ni juu yako mwenyewe.
 
Tafuta mbwa badala ya bunduki utanishukuru
 
Wasiliana na mbunge wako 😏

IMG_20240115_083810.jpg
 
Hakuna bunduki ya halali wewe ambayo utauziwa na mtu binafsi. Ukitaka bunduki halali, fuata utaratibu uliowekwa na serikali.

Kinyume na hapo, nunua gobore la magendo. Halafu ukikamatwa kwa kuhusishwa na ujangili, ni juu yako mwenyewe.
Ndio hiyo ya halali nayokusudia awe na vibali vyote kisha tukakabidhiane polisi na utaratibu wa vibali nifatilie .
 
Back
Top Bottom