Natafuta business mentor or coach wa kunishauri toka mwanzo hadi mradi wangu unasimama

Natafuta business mentor or coach wa kunishauri toka mwanzo hadi mradi wangu unasimama

Kig

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
1,076
Reaction score
458
Natafuta mtu wa kunifanyia mentoring or coaching katka harakati zangu za kuanzisha pre-primary school and hatimaye primary school. Ataifanya kazi hiyo tangu naanza mradi hadi tuhakikishe mradi umesimama. Sifa awe mtalaamu katika masuala ya business hasa katika elimu. Akiwa anamiliki shule inaweza kuwa vizuri zaidi maana naamini nitajifunza kwa vitendo na siyo maneno pekee. Na nitakuwa na imani naye zaidi kuliko yule anayeni coach wakati yeye hana mradi kama huo. Aliye tayari ani PM, ili tuangalie modality ya kufanya kazi na tuanze haraka iwezekanavyo endapo tutafikia muafaka.
Maelezo yanahusu mradi tuajadiliana baada ya kufikia makubaliano. Karibun sana.
 
maadamu umeonesha dhahiri kuwa unahitaji ushauri toka kwa anayemiliki au kuendesha shule (whom you r or will be his/her competitor), all the best. mm binafsi siqualify hapa
 
Ni kweli kabisa mdau uliyechangia. Usiutegemee sn ushauri wa competitor, maana hawezi kukupa siri zote za mafanikio, atakuwa anogopa kuzidiwa. Na wamiliki wengi wako busy, hawana muda wa kushauri beginners. Au uwe na washauri zaidi ya mmoja.
 
Kig ushauri huo hapo juu wote ni sawa kabisa na mie naongezea kimoja, anayemiliki au kufanya biashara fulani usimtegemee sana kama mentor, nitakupa mf mmiliki wa kwanza ni mwl kafundisha shule baadae tuition home, kaigeuza tuition center, huku akiendelea kufundisha kaanzisha nursery home na kujenga akianzia na hiyo darasa ya nursery hadi kumiliki high sch. Wa pili yeye kaangalia fursa, eneo analo, capital anayo kajenga na kuajiri waalimu na yeye kakaa kama meneja. Watatu yeye capital anayo, muda hana, kaona shule nje na mfumo wake kaupenda, ameingia franchise contract nao wamemletea walimu, meneja. Zote hizi 3 zina performance nzuri je hapa mentorship utayopata itakusaidiaje. Kama shule wote tunasoma syllabus na miaka sawa kwanini jinsi ya kuitumia elimu tunapishana? Mie nakushauri usiogope ushauri wa business consultant kwani yeye atakupa ile misingi muhimu ya kuhusu biashara na hususani hiyo ya shule. Mentor anaweza kukuambia ni rahisi, ni ngumu, inahitaji capital kubwa, inahitaji/ haiitaji kabisa wewe kusimamia. Uamuzi wa mwisho ni wewe utavyoitumia elimu yoyote uipatayo kwa mentor, consultant nk ktk kufikia lengo lako.
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Kig ushauri huo hapo juu wote ni sawa kabisa na mie naongezea kimoja, anayemiliki au kufanya biashara fulani usimtegemee sana kama mentor, nitakupa mf mmiliki wa kwanza ni mwl kafundisha shule baadae tuition home, kaigeuza tuition center, huku akiendelea kufundisha kaanzisha nursery home na kujenga akianzia na hiyo darasa ya nursery hadi kumiliki high sch. Wa pili yeye kaangalia fursa, eneo analo, capital anayo kajenga na kuajiri waalimu na yeye kakaa kama meneja. Watatu yeye capital anayo, muda hana, kaona shule nje na mfumo wake kaupenda, ameingia franchise contract nao wamemletea walimu, meneja. Zote hizi 3 zina performance nzuri je hapa mentorship utayopata itakusaidiaje. Kama shule wote tunasoma syllabus na miaka sawa kwanini jinsi ya kuitumia elimu tunapishana? Mie nakushauri usiogope ushauri wa business consultant kwani yeye atakupa ile misingi muhimu ya kuhusu biashara na hususani hiyo ya shule. Mentor anaweza kukuambia ni rahisi, ni ngumu, inahitaji capital kubwa, inahitaji/ haiitaji kabisa wewe kusimamia. Uamuzi wa mwisho ni wewe utavyoitumia elimu yoyote uipatayo kwa mentor, consultant nk ktk kufikia lengo lako.

Mama Joe nashuuru sana kwa ushauri mzuri. Ubarikiwe
 
Ni kweli kabisa mdau uliyechangia. Usiutegemee sn ushauri wa competitor, maana hawezi kukupa siri zote za mafanikio, atakuwa anogopa kuzidiwa. Na wamiliki wengi wako busy, hawana muda wa kushauri beginners. Au uwe na washauri zaidi ya mmoja.

Nashukuru kwa mchango wako. point noted
 
Back
Top Bottom