Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,209
- 2,243
Natafuta business partner wa kushilikiana nae kuchukua frame. Frame ina ukubwa wa 35sqm tunaweza kufanya partition au kufanya biashara zinazoendana pamoja . Mimi nataka kufungua ice cream parlor, wewe unaweza kuuza chakula, coffee, milkshakes, gift shop, gaming center, au yoyote unayotaka.
Location: Toure drive, Masaki
Kodi: 1.17 million sawa na 582,000 kwa kila mtu
Terms: 3 months
Kama utahitaji tuwasiliane PM
Shukran[emoji1666]Kila la kheri mkuu
Kama wapi?Why masaki kwenye kodi kubwa while kuna sehemu sio expensive sana
Mwenge,sinza,makumbusho etcKama wapi?
Nataka nifungue high class ice cream parlor, kwa wakazi wengi wa hayo maeneo hawawezi kulipia ice cream ya 12,000 while za 4000 zipo. Alafu for a 35sqm unit bei zinalingana hayo maeneo.Mwenge,sinza,makumbusho etc
Sina uhakika exactly kodi ni kiasi gani lakini bila shaka itakua nafuu kuliko huko masaki
Ice cream 12000 😲😲😲😲Nataka nifungue high class ice cream parlor, kwa wakazi wengi wa hayo maeneo hawawezi kulipia ice cream ya 12,000 while za 4000 zipo. Alafu for a 35sqm unit bei zinalingana hayo maeneo.
Kila la kheriNataka nifungue high class ice cream parlor, kwa wakazi wengi wa hayo maeneo hawawezi kulipia ice cream ya 12,000 while za 4000 zipo. Alafu for a 35sqm unit bei zinalingana hayo maeneo.
Mkuu unamaanisha utamlipia hiyo kodi?Hapa ndio najua umuhimu wa muda zingekuwa enzi zangu ningelipia nipate hiyo frame ila sio kesi mtu yeyote ukimpata ana wazo na nia ya biashara na anaweza akafanyia hapo just pm me.
Ntamlipia
[emoji1666]Hapa ndio najua umuhimu wa muda zingekuwa enzi zangu ningelipia nipate hiyo frame ila sio kesi mtu yeyote ukimpata ana wazo na nia ya biashara na anaweza akafanyia hapo just pm me.
Ntamlipia
Ndio scoop ya kibabe, toppings za kutosha, 5 star service... 12K ndogo sana mkuu[emoji28]Ice cream 12000 [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Karibu mkuuUkifanikiwa kufungua hiyo icecream parlour nipe mwaliko mkuu, kuna vitu nahitaji kujifunza kwenye biashara hii, icecream is so sweet[emoji39]
Nami nataka nimlipie mtu mwenyewe wazo. Tumekutana tuna mawazo yanayofanana. Utani pm pia.Hapa ndio najua umuhimu wa muda zingekuwa enzi zangu ningelipia nipate hiyo frame ila sio kesi mtu yeyote ukimpata ana wazo na nia ya biashara na anaweza akafanyia hapo just pm me.
Ntamlipia
Labda if u got naked ladies dancing sawa ila ice cream 12k na ni kitu cha hamu tuuNdio scoop ya kibabe, toppings za kutosha, 5 star service... 12K ndogo sana mkuu[emoji28]