Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,209
- 2,243
- Thread starter
-
- #21
[emoji28][emoji28] Hapana nitafurahi zaidi nikiona nimemuingiza mtu kwenye njia ya mafanikioBiashara ikianza kwenda vizuri hautaanza kununa nuna mkuu [emoji276]!ili mwenzio abwage manyanga ili umiliki frem peke yako?
[emoji28][emoji28][emoji119]Labda if u got naked ladies dancing sawa ila ice cream 12k na ni kitu cha hamu tuu
[emoji1666]Ikawe kheri mwamba.
Ndio mtu mwenye idea ya kueleweka.Mkuu unamaanisha utamlipia hiyo kodi?
Dah safi sana mkuu na utabarikiwa zaidi🙏 ngoja nichakate kabusiness idea kenye tija fasta then nikuone mkuuNdio mtu mwenye idea ya kueleweka.
Napenda kuwa sehemu ya mafanikio ya mtu huwa inanfanya najihisi vizuri zaidi
OkDah safi sana mkuu na utabarikiwa zaidi🙏 ngoja nichakate kabusiness idea kenye tija fasta then nikuone mkuu