Natafuta business partners/investors

Natafuta business partners/investors

87Method

Member
Joined
Apr 25, 2020
Posts
21
Reaction score
32
Habari, Naitwa Thomas

Leo ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mada ni kwamba unapotaka kufikia mafanikio basi fanya kazi kwa bidii lakini kama ukitaka mafanikio makubwa zaidi basi inakupasa kushirikiana na wengine na kufanya kazi kama team.

On my side nina wazo la kutengeneza applications ambazo zitatumika Tanzania kwenye industries such Finance and entertainment. Na hizi applications nishazifanyia market reasearch na nimeona hamna anything like it kwa sasa thou zipo zilizo na specifications zinazo fanana which is kitu normal kwa apps. Basically app mmoja itakua for mobile transaction na nyingine for mobile Entertainment

TEAM NINAYOHITAJI

1.Vijana wawili wenye uwezo wa. masuala ya IT hasa. Developing the applications,websites na graphics kwa ajili ya uandaaji na shughuli za IT

2.vijana wawili ambao watakuwa kwenye upande wa marketing and branding hawa watakuwa wanahusika zaidi kwenye ku market hizi applications.

NB: Siangalii Gender wala umri wa mtu bali ninachoangalia ni uaminifu pia commitment ya kazi na cooperation.

MALENGO YA TEAM

Malengo makubwa ya kutaka kuundwa kwa Team hii ni kuhakikisha kuwa tunatengeneza hizi apps na kuzi sajili na kuzi market pia tunafungua ofisi na kampuni.

MALENGO YA AWALI

•kufungua application

•kujisajili

• kujitangaza

•kufungua ofisi

Pia unaweza kuwa umelipenda wazo langu na una uwezo wa kuwekeza fedha yako kwa mkataba maalum tunaweza kuonana tukafanya kazi. kulingana na mkataba tutaokubaliana kumbuka mpka sasa hakuna kampuni hata moja inayohusika kikamilifu katika kutengeneza applications kama hizi ndani ya Tanzania japo kuna demand kubwa sana.

kwa ushauri na maswali unaweza kuniuliza na kwa wale watakaopenda kuungana nami ili tuwe partners mna karibishwa pm kwa kujieleza unafit vip kama ukichaguliwa

cha mwisho kwa wale wataokuwa tayari ni kwamba pale itapo itajika kitu tutachangia gharama sawa na kuwa na profit share sawa.

Asante kwa muda wenu

karibuni

Mawasiliano: 0699458838
 
OK,Tueleze kidogo kuhusu wewe
Ok Mimi nipo Dar es salaam and am an experienced entrepreneur 21 of age niliona hii Opportunity na many other ndo maana na seek investors kwa project zote nilizo but i figured siwezi fnya all of it alone because of the costs thats why nika seek people for management and investors
 
Bado haitoshi Kumshawish MTU makin kuinvest,
Vitu muhimu ambayo hujasema ni itahitaji kuinvest kias gani na matarajio yafaida itakua nikias gani
 
Funguka boss, mpe mtu sababu, mshawishi kwanini ainvest kwako.

Hata mm nipo ktk marketing, young like you with same visions, ila hujanshawishi kujoin your team

Numbers zina nafasi kubwa ktk influencing a person,... Hujatoa maybe investment kiac gan inahitajika, ROI yake ipoje.. Target market unayolenga ina how much people??

Ongeza nyama boss
 
Bado haitoshi Kumshawish MTU makin kuinvest,
Vitu muhimu ambayo hujasema ni itahitaji kuinvest kias gani na matarajio yafaida itakua nikias gani
Oky...hiyo data yote ninayo na siwezi andika yote hapa cause project and businesses nilizo analyze ni nyingi na kama kuna any investor ata taka hiyo data nipo tayari kumtumia asome kwa ujumla na atachagua awe investment kwenye project ipi lakni kwa kifupi investor anaweza wekeza 2,000,000 upto 5,000,000

Kwa sasa na as a start up our projection na kupata at least 5-10 investors at least 3.5million ku invest in our different businesses and projects and by our forecast tutaweza kumlipa invest by 15-28% per year
 
Funguka boss, mpe mtu sababu, mshawishi kwanini ainvest kwako.

Hata mm nipo ktk marketing, young like you with same visions, ila hujanshawishi kujoin your team

Numbers zina nafasi kubwa ktk influencing a person,... Hujatoa maybe investment kiac gan inahitajika, ROI yake ipoje.. Target market unayolenga ina how much people??

Ongeza nyama boss
Sababu ya kwanza kutafuta partners/investors ilikua kwa sababu ya cost involved for example nilivyo fnya inquiry katika conpany za IT kuhusu kutengeneza apps kwa specifications nilizo weka minimum per app ilikua 1.2Million upto 5Million kwa entertainment app alone na market size/Demand za hizi apps ni about 1million kwa Dar ea salaam alone upto 5-7 million country wide size internet user wame increase from 9 million in 2015 to 14.6million by the end of 2018 Kwaio opportunity for such apps are endless
 
Dah, kuna jamaa alinijia na mpango wa kufungua forum, ni kaweka pesa mwisho ni kapigwa nikaacha safari njiani
Je mlikua na legal agreement kati yenu?! Kama kulikua hamna legal agreement then kuchapwa hela apo ni lazma, ata siku mmoja usikubali kuweka pesa sehemu bila agreement inayo elezea kila kitu kuhusu makubaliano yenu
 
Sababu ya kwanza kutafuta partners/investors ilikua kwa sababu ya cost involved for example nilivyo fnya inquiry katika conpany za IT kuhusu kutengeneza apps kwa specifications nilizo weka minimum per app ilikua 1.2Million upto 5Million kwa entertainment app alone na market size/Demand za hizi apps ni about 1million kwa Dar ea salaam alone upto 5-7 million country wide size internet user wame increase from 9 million in 2015 to 14.6million by the end of 2018 Kwaio opportunity for such apps are endless
Do you understand that there's a big gap between having an app and having a successful app, regardless of the niche?

Tuanzie hapo kwanza
 
Do you understand that there's a big gap between having an app and having a successful app, regardless of the niche?

Tuanzie hapo kwanza
Yes i do understand cause i have learned why these other applications /companies failed and are not successful because they did not consider basic things such as Usability (User friendly interface) Content that they make available to their clients And mostly prices that fit within the actually budget of a normal tanzanian in short i have carefully analyzed the soul causes of why these other apps fail
 
Bado haitoshi Kumshawish MTU makin kuinvest,
Vitu muhimu ambayo hujasema ni itahitaji kuinvest kias gani na matarajio yafaida itakua nikias gani

Two key questions an investor wil ask
1) what experiwnce do u have concerning the matter...so kwa upande wako ni je ulishatengeneza hizo apps ata kama ni za mfano

2) whats in it for me....nitafaidikaje kwa kuweka mzigo wangu?
 
Two key questions an investor wil ask
1) what experiwnce do u have concerning the matter...so kwa upande wako ni je ulishatengeneza hizo apps ata kama ni za mfano

2) whats in it for me....nitafaidikaje kwa kuweka mzigo wangu?
Starting with your first question i dont have experience kweny kutengeneza hizi apps lkni what i do have is Data,A well planed strategy and the business acumen for the execution of this investment thats why i seek people with such abilities for creating these apps

When it comes to investing we all know there is making profit and as well as loss but as an entrepreneur i know better than to put everything in one bucket thats why we have alternative investments that will be outlined in a legal document i hope nime ku clarify on that matter
 
Back
Top Bottom