Lonely thinker
Member
- Dec 12, 2019
- 17
- 19
Hapo sawa! Ungeanza kuliongelea hilo pia ungevuta attention za watu vinginevyo utaeleweka unatafuta hela!Kuhusu pesa nazan tayar nimeanza ku generate kwani tayar nimesha fungua miradi 2 kwaajili ya cashflow
Sent using Jamii Forums mobile app
Business gani hiyo.Kama kichwa cha habar kinavyo jieleza mimi ni kijana wa miaka 24 na nina plan ya biashara (business plan) iliyo kamilika hivyo now natafuta watu wa ku join nao yaani business partners ambao naweza kufanyanao kazi na tuka reach our new horizon of achievement
Kwa yeyote aliye tayar tuwasiliane whatsapp kwa simu namba ±255742409255
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app