Natafuta Chumba cha 100,000/= Maeneo ya Mbezi Beach

Natafuta Chumba cha 100,000/= Maeneo ya Mbezi Beach

ELISANTE DAVID

New Member
Joined
Jul 16, 2018
Posts
3
Reaction score
5
Habari za muda huu wanajamii Forums, naomba msaada kwa anaefahamu Chumba kinachopangishwa maeneo ya Mbezi Beach (Africana, Makonde, Shule, jogoo, tangi bovu, kwa zena, au makongo).

Chumba kiwe ni Self(Master).

Cha bei ya 100,000/= kwa mwezi
 
Back
Top Bottom