Mr Kazembe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 386
- 514
Ili ugeuze room danguro sioMWENYE NYUMBA ASIWEPO MAZINGIRA
sio mbaya ni moja ya mchango wakoIli ugeuze room danguro sio
sawa boss ndomana nikatafuta sehemu hizo ikatokea nimepata nitashukuru...Kwa hio bei kwa mbezi beach sahau, labda tegeta utapata
nawasubir kwa hamu kubwa....Madalali wanakuja
Yani mwenye nyumba aache kukaa kwake kwasababu tu una mpa laki tatu kwa miezi sita???? Mimi nakushauri jenga ykoNdugu wa Tegeta
Ndugu wa Mbezi Beach
Ngugu zetu wa goba mupoo
Chumba cha 50,000/=
6 months nalipa
Wapangaji wasizidi wa 3
Mwenye nyumba asiwepo mazingira gari iwe inafika hapo
Gypsum
Tiles muhimu
Ikiwa master ni vizuri zaidii...
Msaada jamani
Ili ugeuze room danguro sio
inshallah mwenyezi atajalia kheri... asante kwa ushauli pia namaanisha wapo wenye nyumba mbili tatu au wapo walio jenga nyumba kwa ajili yasisi tunaojipanga kabla ya kwenda kujenga tuishi.... sijasema ninafukuza mwenye nyumba...Yani mwenye nyumba aache kukaa kwake kwasababu tu una mpa laki tatu kwa miezi sita???? Mimi nakushauri jenga yko
sawa boss ndomana nikatafuta sehemu hizo ikatokea nimepata nitashukuru...
nahitaji boss wanguTegeta unapata ghetto safi kabisaaa
kweli lakiniUlitaka haja zake akamalizie wapi wakati chumba anacho.
kumbuka hio ni au ila lengo ni chumba.....Huwezi kupata masters kwa Bei hio ...