Natafuta chumba cha kupanga Mwanza

Natafuta chumba cha kupanga Mwanza

Paul Mchumi

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2013
Posts
1,039
Reaction score
1,256
Mazee nahitaji chumba cha kupanga singo iliyo na choo chake (master), bajeti yangu ni kisizidi tsh 80 elfu, malipo yangu taweza miezi mitatu kwanza, maeneo yote kuanzia Igoma, Buzuruga, Meco, Mkuyuni, Bwiru, Nyegezi, Mkolani.

Kisiwe mbali na stendi ya daladala za kwenda mjini, kama unacho au unamjua dalali au una namba yake ya simu, niunganishe naye

Natanguliza shukrani!
 
Na hapo hapo anachumba na sebule kwa 80, hiyohiyo ila yenyewe cyo self maji umeme full! Ila jamaa mjeshi hatakagi uhuni uhuni,
 
ichenjezya,
Mi nina nyumba ina vyumba viwili mkuu kimoja master, sebule n choo ya ndani kodi ni laki na nusu kwa mwezi, nililipia kodi mpaka mwezi wa sita hivyo nahama, nirudishie laki tatu mpaka mwezi wa sita
 
Back
Top Bottom