Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,039
- 1,256
Mazee nahitaji chumba cha kupanga singo iliyo na choo chake (master), bajeti yangu ni kisizidi tsh 80 elfu, malipo yangu taweza miezi mitatu kwanza, maeneo yote kuanzia Igoma, Buzuruga, Meco, Mkuyuni, Bwiru, Nyegezi, Mkolani.
Kisiwe mbali na stendi ya daladala za kwenda mjini, kama unacho au unamjua dalali au una namba yake ya simu, niunganishe naye
Natanguliza shukrani!
Kisiwe mbali na stendi ya daladala za kwenda mjini, kama unacho au unamjua dalali au una namba yake ya simu, niunganishe naye
Natanguliza shukrani!