Natafuta Chumba/fremu kwa ajili ya Ofisi

Natafuta Chumba/fremu kwa ajili ya Ofisi

KGB

Member
Joined
Sep 2, 2010
Posts
52
Reaction score
6
HI ,
Natafuta Chumba kitakachofaa ya Matumizi ya ofisi kwa ajili ya kukipangisha,Square metre 10 maximum,Office Sharing vile vile inakubalika ila Ustaarabu ni muhimu.

Maeneo:Mikocheni,Kinondoni,au eneo jingine katikati ya jiji.

kama kuna mtu anataarifa au anasehemu anaipangisha tafadhali ni email katika email ifuatayo

kgb.tanzania.company@gmail.com
 
Uko tayari kulipa kiasi gani-maximum na unataka square metre ngapi min?
 
Unaweza pata pale Mbezi beach park building,Mbezi Tangi bovu opposite na Kanisa la kilutheri
 
Maximum square metres Zinazotakiwa ni 36 minimum 10.
budget amount inategemea na eneo Husika.
 
Back
Top Bottom