Natafuta chumba masters, Mwenge / Mlimani City / Mlalakuwa

Natafuta chumba masters, Mwenge / Mlimani City / Mlalakuwa

Joined
Apr 18, 2017
Posts
86
Reaction score
57
Wakuu kwema humu?
Nahitaji chumba masters, cha kisasa maeneo ya Mwenge, Mlimani City au Chuo (Ardhi)
Nataka kuhamia tarehe 1 mpaka 3 December!
Bajeti yangu haitazidi 200,000/- TZS
Nicheki +255676095799 kama una pictures kwa maeneo hayo.

Asanteni
 
Wakuu kwema humu?
Nahitaji chumba masters, cha kisasa maeneo ya Mwenge, Mlimani City au Chuo (Ardhi)
Nataka kuhamia tarehe 1 mpaka 3 December!
Bajeti yangu haitazidi 200,000/- TZS
Nicheki +255676095799 kama una pictures kwa maeneo hayo.

Asanteni
Vijana wa kileo mna njia nyingi za kujifanya mna pesa na wakati kiuhalisia hamna kitu. Umeandika kuwa unahitaji chumba masters cha 200,000 ili uonekane kuwa una hela hapa mtandaoni.

Cha ajabu ukichekiwa kupitia namba hii uliyoweka hapa JF utadai eti tayari umeshapata chumba 😀😀😂😂
 
Vijana wa kileo mna njia nyingi za kujifanya mna pesa na wakati kiuhalisia hamna kitu. Umeandika kuwa unahitaji chumba masters cha 200,000 ili uonekane kuwa una hela hapa mtandaoni.

Cha ajabu ukichekiwa kupitia namba hii uliyoweka hapa JF utadai eti tayari umeshapata chumba 😀😀😂😂
Manula hayupo golini
 
Vijana wa kileo mna njia nyingi za kujifanya mna pesa na wakati kiuhalisia hamna kitu. Umeandika kuwa unahitaji chumba masters cha 200,000 ili uonekane kuwa una hela hapa mtandaoni.

Cha ajabu ukichekiwa kupitia namba hii uliyoweka hapa JF utadai eti tayari umeshapata chumba 😀😀😂😂
Mzee, ukiona huna msaada kwenye post si unakausha tu..? Sijaona shida… Nimeclarify nachohitaji na nilichonacho ili kuokoa muda… Nadhani maelezo yanajitosheleza kwa mtu/dalali anayejielewa! Kwahiyo kama kwako hai make sense unapita tu jombaa! Itasaidia kuokoa muda wako pia
 
Back
Top Bottom