Hapo ulipokua unarudia ulipata crdt ngap?sorry
anayejua mahali kilipo na gharama zake anisqidie
mtaa wa lumumba. ulizia-ulizia karibu na crdb watakuonesha
mtaa wa lumumba. ulizia-ulizia karibu na crdb watakuonesha
somea herbalist mimea tiba,jikazie zaidi ktk matatizo ya uzazi kwa kina mama!/vyuo hivyo vipo nairobi kenya/changamkia fursa!
kwa ushauri huu,
kaa macho unatapeliwa bestitooo
lkn mitaa iyo kuna kiwanda cha noti feki so waweza jiongeza kimtindo