Natafuta connection ya kazi stendi ya Kahama

Natafuta connection ya kazi stendi ya Kahama

ramadhani kimweri

Senior Member
Joined
Apr 22, 2016
Posts
181
Reaction score
179
Wakuu nipo kahama natafuta kazi ya kupiga debe kamahama stendi

Yeyote mwenye connection na magari nipo tayari kufanya kazi na campun yeyote nipo vizuri katika kushawishi na kuongea

Msaada wana jamiiforums
 
Nenda CDT alfajiri, ikifika mida ya kuanzia saa kumi jioni sogea Phantom, daily hauto lala njaa.
Lakini hapa kwenye keyboard usijisumbue mazee, inahitaji ubunifu na uaminifu.
 
Back
Top Bottom