Ndugu zangu habari ya majukumu ya siku ya leo, natumaini Mungu anawatunza vyema. Mimi ni kijana nina ndoto za kwenda nje ya nchi kufanya kazi za vibarua, naamini wana JF wengi wanafahamu mambo mengi maana ki maisha tumetofautiana.
Basi yeyote mwenye information zozote kulingana na suala langu naomba msaada.
Basi yeyote mwenye information zozote kulingana na suala langu naomba msaada.