Kuna wengine ni wema bigbroMhhh, utapigwa humu hadi uchakae..
Kama ngap kaka?Unazo PESA...?
Unataka kwenda nchi Gani...?Kama ngap kaka?
Get rich or die trying hii imekaa njema sanaAngalia uzi mmoja humu kwakuandika ( LITHIUANIA ) kuna jamaa mmoja anasema ana connection za huko kwa madereva mtafute atakupa connection za huko ...
Jaribu kuwa Open minded mkuu, huko nje ndio kutakufungua ufahamu wako katika mambo mbalimbali
Get rich or die trying... Hii ndio iwe inspiration yako
Njoo chumbani nikupeAll the Best