Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungesema unataka la ukubwa gani kuna la 40ft na 20ftHabari za siku Ndugu, Kwa wenye uzoefu nisaidieni wapi naweza Kupata Container Used, Gharama za Kununua na Gharama za Kusafirisha Dar mpaka Arusha!
Kwa hapa dar inategemea na hali lilivyo yaani uchakavu au upya ila kwa 40ft makadirio si chini ya 3 milioniFuti 40 kwa ngap Mkuu
Usishtuke huyo ana zaidi ya makontena 360aisee
Daah naona ni zaidi ya M5Mkuu, container zipo, utapata 40 ft kwa dola 2500, na 20 ft 2400
Nakuuzia kutoka kwa shipping line, siyo mtu wa kati, document zote utapata,
Naweza nikakusaidia ukapata hata kwa Tanga upunguze gharama za usafiri kufika Arusha
Mkuu hizi nakuuzia kutoka kwa shipping company moja kwa moja bado ziko mpya kabisa,Daah naona ni zaidi ya M5
Sawa Mkuu, Nataka Nianzishe internet Cafe.. zinaweza Kukaa pc ngapi..Mkuu hizi nakuuzia kutoka kwa shipping company moja kwa moja bado ziko mpya kabisa,
Hiyo nimekutajia bei ya ndani, ukipata kwa dalali atakupiga zaidi ya hiyo, au container mbovu.
Sasa hii ni upangaji wako, me siyo mzuri kwenye hilo,Sawa Mkuu, Nataka Nianzishe internet Cafe.. zinaweza Kukaa pc ngapi..
Karibu mkuuOkay Mkuu Nitakutafuta..
Babu usimpoteze huyo jamaa, 40" kwa m 3! 20 ft ndo huwa bei zake, hapo ukilinunua pia unatakiwa ulipie bei ya kuliinua, inategemea na mtakavyo elewanaKwa hapa dar inategemea na hali lilivyo yaani uchakavu au upya ila kwa 40ft makadirio si chini ya 3 milioni