Natafuta dada wa kuuza duka la vinywaji (vinywaji vikali na soft drinks)

Natafuta dada wa kuuza duka la vinywaji (vinywaji vikali na soft drinks)

dracular

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
769
Reaction score
1,069
Kama uzi unavojieleza natafuta mdada wa kuniuzia duka langu la vinywaji kama nilivoainisha hapo juu🙄.

Duka ni la jumla na reja reja lipo maeneo ya tabata muslim hapa jijini dsm.

Sifa za muombaji:
1: Awe na mdhamini mwenye mali zisizo hamishika
2: Awe na elimu angalau kidato cha nne
3: Awe tayari kufunga duka saa 5 usiku
Wote mnakaribishwa 🙏 kwenye fursa hii.
 
Kama uzi unavojieleza natafuta mdada wa kuniuzia duka langu la vinywaji kama nilivoainisha hapo juu🙄.

Duka ni la jumla na reja reja lipo maeneo ya tabata muslim hapa jijini dsm.

Sifa za muombaji:
1: Awe na mdhamini mwenye mali zisizo hamishika
2: Awe na elimu angalau kidato cha nne
3: Awe tayari kufunga duka saa 5 usiku
Wote mnakaribishwa 🙏 kwenye fursa hii.
Salary?
 
Kama uzi unavojieleza natafuta mdada wa kuniuzia duka langu la vinywaji kama nilivoainisha hapo juu🙄.

Duka ni la jumla na reja reja lipo maeneo ya tabata muslim hapa jijini dsm.

Sifa za muombaji:
1: Awe na mdhamini mwenye mali zisizo hamishika
2: Awe na elimu angalau kidato cha nne
3: Awe tayari kufunga duka saa 5 usiku
Wote mnakaribishwa 🙏 kwenye fursa hii.
Nicheki Nina msichana anaweza hyo kazi na anahitaji kazi pia sio msumbufu 0683263330
 
Back
Top Bottom