Natafuta dalali wa kiwanja

Winnerstz

Member
Joined
Nov 25, 2023
Posts
10
Reaction score
7
TANGAZO: NATAFUTA DALALI WA KIWANJA


Natafuta dalali wa kusaidia kuuza kiwanja changu kilichopo Bukoba Mjini. Kiwanja kina eneo zuri, kipo kwenye mahala pazuri kwa makazi au biashara, na kina hati halali.


Dalali anayejua soko la viwanja Bukoba na anaweza kupata mteja haraka awasiliane nami kwa maelewano zaidi.


πŸ“ž Wasiliana nami kwa simu/WhatsApp: 0765764172


πŸ₯‡ Ukiniletea mteja, utapata malipo mazuri kwa kazi yako!


Sambaza kwa wengine wanaoweza kuwa na mteja! πŸš€
 
Kwanini unatumia hawa madubwasha. Huwezi kuuza peke yako? Dalali ni nuksi. Unakuta nyumba inaizwa milioni 100 yeye anaanzia milioni 250.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…