Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote kwa pamojaMahindi mabichi ya kuchoma?
Mkuu mahindi mabichi hununua sh. Ngapi msimu wa disemba.Mi nanunua mahindi ila yawe ya dodoma tu, nicheki tuyajenge
Mi nanunua mahindi ila yawe ya dodoma tu, nicheki tuyajenge.
Maharage unayo kwa wingi mkuu? Unaweza kuwa na kiasi gani cha maharage? Na ni aina gani ya maharage ambayo unayo?Habari wakubwa naomba msaada wa dalali au masoko ya mazao ya kilimo kama vile maharage na mahindi katika mkoa wa Dar es Salaam.
Asante
tani moja bossMaharage unayo kwa wingi mkuu? Unaweza kuwa na kiasi gani cha maharage? Na ni aina gani ya maharage ambayo unayo?
maharage ya njano bosstani moja boss
Ya bukoba pia ninayoMaharage unayo kwa wingi mkuu? Unaweza kuwa na kiasi gani cha maharage? Na ni aina gani ya maharage ambayo unayo?
yapNdugu yangu uko serious unatafuta dalali umpe mzigo?!
Hii bei ni kwa mahindi ya mkoa gani?Na mahindi gunia 20tonne dar ,
Bei 550/kg