rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
Mkuu shotogkhan unachezea wapi nami nijiunge nikumbushe enzi za ujana
Nilikosa kampani mpaka nikajiunga na ndonga now nipo available kwa hapa dar
Mkuu Rommy upo belt gani?Mimi pia ni mwanasanaa mwenzio.
Kwa mbagara au kongowe wanapatikana wapi??
Jamani martial art inafundishwa wapi Dodoma?
Mimi nafanya shotokan pia japo nilistop kidogo miaka kadhaa nyuma nikiwa bado junior kutokana na movement za hapa na pale so nikashindwa kuendelea katika form .nzuri ila nikawa najifua mwenyewe kimtindo tu,natarajia kurudi darasani mda si mrefu ili niendelee katika mlolongo unaofaa.Pia nimefanya taekwondo kidogo na kombat karate kidogo.Mkuu nipo brown belt 2 kyu ilitakiwa nifanye mtihani wa kwenda 1 kyu but niliumia goti kwenye mashindano mwaka jana so now bado nauguza goti japo nafanya mazoezi si wajua kitu kikiwa kwenye damu, ww wacheza upi mkuu
Ukihitaji shotokan karate,nenda pale kilimani bar kuna dojo inaitwa kilimani shotokan karate do dojo.Maeneo ya dodoma hotel kwa juu.Jamani martial art inafundishwa wapi Dodoma?
Mimi nafanya shotokan pia japo nilistop kidogo miaka kadhaa nyuma nikiwa bado junior kutokana na movement za hapa na pale so nikashindwa kuendelea katika form .nzuri ila nikawa najifua mwenyewe kimtindo tu,natarajia kurudi darasani mda si mrefu ili niendelee katika mlolongo unaofaa.Pia nimefanya taekwondo kidogo na kombat karate kidogo.
Ulipata injury yale mashindano ya dodoma?
Sawa mkuu,nitakaribia.Hapana ni mashindano yalifanyika shule ya msingi osterbay chini ya shirikikisho la SKIF karibu sn bro nafatilia ukumbi mitaa ya Africana hv au jogoo yaan hii barabara ya bagamoyo road , nataka nianze mdogo mdogo ila chini ya sensei wangu losso (black belt 2 dan ) mshind mara 3 mfululizo upande wa SKIF
....Ni vizuri kuwa fit kujianda na purukushani za Mwakani katika harakati za kung'oa Jiwe