Weka mawasilano au email tuliotayari tukutafuteHabari,
Nina kazi ya kukusanya data kwa wakulima wa alizeti katika Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.
Natafuta jumla ya vijana sita waliomaliza degree lkn hawana ajira kwaajili ya kukusanya data katika maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo.
Malipo ni kwa idadi ya wakulima utakaowahoji.
Uhai wa Tangazo hili mwisho mwezi Oktoba 2024
Mkuu nipo Singida hapa. Mawasiliano yako plsHabari,
Nina kazi ya kukusanya data kwa wakulima wa alizeti katika Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida.
Natafuta jumla ya vijana sita waliomaliza degree lkn hawana ajira kwaajili ya kukusanya data katika maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo.
Malipo ni kwa idadi ya wakulima utakaowahoji.
Uhai wa Tangazo hili mwisho mwezi Oktoba 2024
tulio nje ya singida tumekosa vigezo?Tuma mawasiliano yako private message
Kwanza ulikuwa wapi maana tulipata msiba wa kibao hukuonekana.nini kimetokea
umesema msiba wa nani?Kwanza ulikuwa wapi maana tulipata msiba wa kibao hukuonekana.
Wa kibaoumesema msiba wa nani?
Kibao ni nani yani....Wa kibao
BasiKibao ni nani yani....
DaaaahBasi
ππππUmeshaandaa dodoso au tutahoji kulingana na mood ya siku huska?