Natafuta dawa ya jino

Lutubija

Senior Member
Joined
Dec 27, 2014
Posts
125
Reaction score
10
jino lajuu linanisumbua naogopa kuling'oa wanadai wengi wao wariowahi kung'oa walipoteza maisha
 
jino lajuu linanisumbua naogopa kuling'oa wanadai wengi wao wariowahi kung'oa walipoteza maisha

Halijakuuma sawa sawa.
Likiuma kiukweli, huwezi hata kujiuliza... next morning unakuwa umeishafika kwa hospital. Lazima utaling'oa tu...
 
kang'oe hilo jino acha uoga kufa kupo tu huwez kimbia kifo ila kama huwez litoa angalia plan b ya kuua mzizi wa jino
 
wialikupigia simu kuwa tumekufa sababu tulitoa jino.watu wamefwnyiwa operesheni kubwa mpaka za ubongo hawajavunga iwe jino.acha woga dr.akupe ushauri
 
jino lajuu linanisumbua naogopa kuling'oa wanadai wengi wao wariowahi kung'oa walipoteza maisha
nikweli baadhi ya watu wanakufa kwa kungoa jino, mimi nawajua wawili ambao walikufa baada yakungoa be carefully nakama roho imeshatetemeka mhh sikushauri kung'oa
 
Uwoga ni dalili ya kujithamini nafsi yako ila mara nyingi inatokana na kutokufahamu ni ipi njia bora ya kutatua tatizo lako
Wengi wameshauri vizuri mnoo kuwa siku hz hamna haja ya kung'oa jino kama limetoboka ila kuna umuhimu wa kwenda hospitali yenye wataalamu wa afya ya kinywa na meno ili upate ushauri wa njia bora ya kutatua shida yako.
Huduma kama ya Root canal au hata ikibidi kung'
 

Mkuu hio root canal inagharimu Kama Pesa ngapi maana mim sijalala asee
 
Ni kati ya Tsh 30,000/=-60,000/= kwa Government hospital
Na kati ya 60,000/= - 400,000/= kwa private
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…