Aaa omeona huyu 100% kwachakula gani?Tanzani mtu kajitahidi goli 3 hata mimi nafanya mazoezi na kula vizuri tatu mwisho sasa yeye kilaza anaweza 10?
Huyu kilaza kwake anaugomvi hata goli moja shida mtu wake anafikiria kuchepuka.Watu wanaofanya kweli hawaongei mambo ya kijinga
umeona eeeha uskute kimoja hoi hapa anajipoza aonekane kidume
mkuu, nikiacha kugegeda ndipo nguvu huongezeka zaidi, yaani sijui hata nifanyaje mie.
Acha kula vyakula vinavyo ongeza mihemko, kula vyakula laini na epuka kukaa sana sehem zinazoleta mihemko na tafuta mwanamke ambae anamatatizo kama yako mtasaidiana
mkuu, 10 nafikisha na bado unakuta kitu kiko wima kinataka zaidi! nifanyeje kumaliza TATIZO hili?