Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,869
- 787
Nazipatia wapi hizo mkuu?mpaka niende SUA Moro?Sua wanazo tambi Dawa miye natumia sijawahi kuona hao mabaradhuli ndani mwangu. Pale apopo
Oh okay sawa nashukuru nitafanya hivyonenda duka la madawa, nunua endosine (dawa ya mifupa kwa binadamu) hiyo haimkopeshi panya changanya unga wake kwenye kipande cha nyama, samaki au dagaa,
Nazipatia wapi hizo mkuu?mpaka niende SUA Moro?
We unaijua namna yaKuua kunguni?kama mada isemavyo njia nyingine ya kufukuza panya tofauti na sumu ya panya
kuchoma ama kuhama nyumbakama mada isemavyo njia nyingine ya kufukuza panya tofauti na sumu ya panya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] paka hakai kwa mseladawa ya panya ni kufuga paka ila kama wewe ni msela kigeto geto paka utamtesa tu bora ununue sumu.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
lol ndiooo atakondeana paka wa Mungu jaman.
Anaondoka bila kuagalol ndiooo atakondeana paka wa Mungu jaman.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.