natafuta dawa

Joined
Jun 7, 2013
Posts
82
Reaction score
34
mzizi mkavu et al...

natafuta herbal aina ya "tribulus terrestris" kwa tanzania ni wapi inapatikana na bei....ni pm.

asanteni
 
mzizi mkavu et al...

natafuta herbal aina ya "tribulus terrestris" kwa tanzania ni wapi inapatikana na bei....ni pm.

asanteni
Mimi Sipo nyumbani Tanzania kwa ufupi wewe unatafuta Mbigili kwa kiingereza

inaitwa jina hili (Tribulus terrestris) kama upo nyumbani watakuja watu kukupatia humu

humu ndani tusubire kidogo.





(Tribulus terrestris) Mbigili.
Mbigili ni aina ya mmea ya familia Zygophyllaceae inayotambaa ardhini na ambayo matunda yake yana

miiba kali inayoweza kutoboa magurudumu ya baisikeli na kuumiza miguusana. Hutumika kama mboga

hususani na wakazi wa pwani.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…