E Earth on heaven Member Joined Jun 7, 2013 Posts 82 Reaction score 34 Jan 12, 2014 #1 mzizi mkavu et al... natafuta herbal aina ya "tribulus terrestris" kwa tanzania ni wapi inapatikana na bei....ni pm. asanteni
mzizi mkavu et al... natafuta herbal aina ya "tribulus terrestris" kwa tanzania ni wapi inapatikana na bei....ni pm. asanteni
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 52,160 Reaction score 48,974 Jan 12, 2014 #2 Wewe ndio H.O.E?
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Jan 13, 2014 #3 Earth on heaven said: mzizi mkavu et al... natafuta herbal aina ya "tribulus terrestris" kwa tanzania ni wapi inapatikana na bei....ni pm. asanteni Click to expand... Mimi Sipo nyumbani Tanzania kwa ufupi wewe unatafuta Mbigili kwa kiingereza inaitwa jina hili (Tribulus terrestris) kama upo nyumbani watakuja watu kukupatia humu humu ndani tusubire kidogo. (Tribulus terrestris) Mbigili. Mbigili ni aina ya mmea ya familia Zygophyllaceae inayotambaa ardhini na ambayo matunda yake yana miiba kali inayoweza kutoboa magurudumu ya baisikeli na kuumiza miguusana. Hutumika kama mboga hususani na wakazi wa pwani.
Earth on heaven said: mzizi mkavu et al... natafuta herbal aina ya "tribulus terrestris" kwa tanzania ni wapi inapatikana na bei....ni pm. asanteni Click to expand... Mimi Sipo nyumbani Tanzania kwa ufupi wewe unatafuta Mbigili kwa kiingereza inaitwa jina hili (Tribulus terrestris) kama upo nyumbani watakuja watu kukupatia humu humu ndani tusubire kidogo. (Tribulus terrestris) Mbigili. Mbigili ni aina ya mmea ya familia Zygophyllaceae inayotambaa ardhini na ambayo matunda yake yana miiba kali inayoweza kutoboa magurudumu ya baisikeli na kuumiza miguusana. Hutumika kama mboga hususani na wakazi wa pwani.
E Earth on heaven Member Joined Jun 7, 2013 Posts 82 Reaction score 34 Jan 13, 2014 Thread starter #4 Mtoto halali na hela said: Wewe ndio H.O.E? Click to expand... Hapana..... mimi ni E.O.H