Natafuta DCM

Natafuta DCM

jossey1979

Senior Member
Joined
Apr 28, 2008
Posts
172
Reaction score
42
Men natafuta DCM ila Bei yake isizidi 12m. mwenye info naomba anisaidie. private mail please!!!
 
Men natafuta DCM ila Bei yake isizidi 12m. mwenye info naomba anisaidie. private mail please!!!

Umeshapima presha? Naona wengi walionunua maDCM kwa bei uliyotaja wanaishia kuwa marafiki wa mafundi. Kuna mmoja alitumia hela ya pensheni, kila napokutana naye naona kama amedata....kama haelewi dunia inaendaje. Kama hujapima presha, kapime kwanza ndio ufikirie kununua DCM kwa bei hiyo.
 
Umeshapima presha? Naona wengi walionunua maDCM kwa bei uliyotaja wanaishia kuwa marafiki wa mafundi. Kuna mmoja alitumia hela ya pensheni, kila napokutana naye naona kama amedata....kama haelewi dunia inaendaje. Kama hujapima presha, kapime kwanza ndio ufikirie kununua DCM kwa bei hiyo.


I concur with you!!! Ukitaka kuingia kwenye biashara ya magari kwa mara ya kwanza jitahidi gari iwe jipya, otherwise jiandae kuwa rafiki wa karibu na mafundi na wauza spare!!
 
Kwa dcm safi sana unaweka injinia ya canter unakamata njia ndefu Mbagala au G.Mboto au Mbezi na Tegeta yapo mengi sana Zambia kule mabovu wanayaleta huku.
 
Umeshapima presha? Naona wengi walionunua maDCM kwa bei uliyotaja wanaishia kuwa marafiki wa mafundi. Kuna mmoja alitumia hela ya pensheni, kila napokutana naye naona kama amedata....kama haelewi dunia inaendaje. Kama hujapima presha, kapime kwanza ndio ufikirie kununua DCM kwa bei hiyo.

daaaa mshikaji yaaani nimecheka sana badala ya kusikita hata hivyo message sent siwezi kununua gari aina hiyo kama ndo hivo
 
daaaa mshikaji yaaani nimecheka sana badala ya kusikita hata hivyo message sent siwezi kununua gari aina hiyo kama ndo hivo

Mamii usijaribu. Utakufa muda si wako. Ukiwa na gari la mtindo huo uatajikuta muda wote akuli imehama. Badala ya kuwafikiria mme/mchumba/mtoto/baba/mama nk we akili yako iko kwenye DCM. Leo injini, kesho difu, keshokutwa krankshafti, mara bearing, sijui matairi nk. Dereve akikupigia simu presha inapanda, unajua kuna tatizo tayari. DCM chakavu, ni heri uwe na nyumba ndogo tatu.
 
mamii usijaribu. Utakufa muda si wako. Ukiwa na gari la mtindo huo uatajikuta muda wote akuli imehama. Badala ya kuwafikiria mme/mchumba/mtoto/baba/mama nk we akili yako iko kwenye dcm. Leo injini, kesho difu, keshokutwa krankshafti, mara bearing, sijui matairi nk. Dereve akikupigia simu presha inapanda, unajua kuna tatizo tayari. Dcm chakavu, ni heri uwe na nyumba ndogo tatu.

points taken men! Thank you 1,000 times for all of you who have contributed! Welcome for a glass of tusker. This weekend pale b bar plus k moto
 
points taken men! Thank you 1,000 times for all of you who have contributed! Welcome for a glass of tusker. This weekend pale b bar plus k moto

Are you serious? I will be the first to be there! Unajua mi sijuagi kusema NO kwenye ka offer ka bia na kitimotoooooooooz!
 
Kuna dcm inaenda mnazimoja -kiwalani, 25m. Wasiliana na huyu jamaa kwa simu hii-0713-248575
 
Unazisikia au uliishajaribu? nyumba ndogo 3 si mchezo!nyumba ndogo 1 ni sawa sawa na DCM 10,maana DCM likilala na wewe unalala.Nyumba ndogo ispolala na wewe huko ulipo hulali.
DCM bovu la 12M?lazma uwe na mtu wako pale trafiki maana budget yao yote inategemea kwanza DCM mbovu zikifuatiwa na Hiace.
Halafu lazima uwe na konda na dreva wenye vichaa hivi,nenda Mbagala au Gongo lamboto uone unavohitaji msuri wa nguvu.
Na wewe ikifika muda fulani unakuwa kichaa. Driver akisema mzee usukani karibu unachomoka,unamwambia piga mzigo ulete hesabu,usukani ukichomoka ni beep.

Mamii usijaribu. Utakufa muda si wako. Ukiwa na gari la mtindo huo uatajikuta muda wote akuli imehama. Badala ya kuwafikiria mme/mchumba/mtoto/baba/mama nk we akili yako iko kwenye DCM. Leo injini, kesho difu, keshokutwa krankshafti, mara bearing, sijui matairi nk. Dereve akikupigia simu presha inapanda, unajua kuna tatizo tayari. DCM chakavu, ni heri uwe na nyumba ndogo tatu.
 
points taken men! Thank you 1,000 times for all of you who have contributed! Welcome for a glass of tusker. This weekend pale b bar plus k moto
Nafurahi sana kukuona huku ukitafuta dcm jomba, kwanini usiwahi kule Zambia wanapoyatoa wenzako??
Ni mabovu lakini ukiyakarabati na kufanikiwa kubadilisha engine unaweza kuafanya biashara.
Big up jomba!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom