Natafuta Demu wa kuzaa nae

Natafuta Demu wa kuzaa nae

Hiyo condition No 2 unataka wa kumuachia mzigo wako?
 
we mwenyewe ujajielezea nikuPM nikutane na mzoga loh...... jichambue
 
Demu ni tambara au kitambaa kilichokuwa kinatumika kufungia matiti zamani zile kabla ya ujio wa brazzie. you gat me boy
 
Mtu asiyeheshimu wanawake huwa nafikiri huenda ni hawa waliotengenezewa maabara kwenye tube...hata nguruwe jike ni demu unaweza kwenda kuzaa naye,mbilimbi wee...
 
naona ni mwendo wa kumponda mshikaji,japo hajajieleza vizuri......angekuwa mwanamke anatafuta mwanaume wa kuzaa nae...wakaka wengi wange comment haraka kuwa wata M- PM.
 
Back
Top Bottom