Natafuta demu wa kwenda nae fiesta....kesho Morogoro

Natafuta demu wa kwenda nae fiesta....kesho Morogoro

Slaker

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
237
Reaction score
31
me me nipo moro hapa,natafuta mdada mzuri ntakae kuwa nae usiku wote wa fiesta huu jaman
kwa mdada aliyekuwa tayari ani pm
pakulala juu yangu.......
 
Usiku Kitandani au usiku Kiwanjani?
Funguka.
 
huyo mdada awe wa hapo hapo moro au hata nje ya moro.......

hivi hizi ndio fursa wanazoziongelea clouds kwenye fiesta ya safari hii
 
me me nipo moro hapa,natafuta mdada mzuri ntakae kuwa nae usiku wote wa fiesta huu jaman
kwa mdada aliyekuwa tayari ani pm
pakulala juu yangu.......

awe na ka mtandao kake au.....
 
Nadhani huna haja ya kumtafuta humu jamvini, huko kiwanjani watakuwepo kama utitiri, unashika mkono tu! All the best, ila uvae Pulizo!
 
me me nipo moro hapa,natafuta mdada mzuri ntakae kuwa nae usiku wote wa fiesta huu jaman
kwa mdada aliyekuwa tayari ani pm
pakulala juu yangu.......

Hivi bado watu mnaenda kwenye matamasha uchwara kama haya?
 
Back
Top Bottom