Kwa heshima na taadhima wanajamvi naomba kuwakilisha ombi langu la kusaidiwa kupata hiyo spare (iwe Mpya au Used)
Nitashukuru zaidi kama nitapata makadirio ya bei na pakuipata.
kuna
ndugu yangu wa kipemba yupo pale Ilala hua anani2mia spea na nimuaminif
na ikiwa haikufaa au mbov unamrudishia ni hodar sana.ongea nae 0657617671 anaitwa Badi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.