Natafuta Dr. Bingwa wa magonjwa ya wanawake Dar es salaam

henya

Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
62
Reaction score
25
Jamani naomba kujua ntampata wapi dr. Bingwa wa magonjwa ya kina mama hapa dar es salaam na gharama zake za kumuona hadi huduma msaada wapendwa
 
Hospital zote za mjini zna hao madaktari.

Hapa nimesema hospitali za kueleweka na sio vile vidispensary vyenu vya mtaani

Nenda

1. Msasani peninsula hospital
2.Tumain hospital
3.Agakhan hospital
4.hindu mandal hospital
5.regency hospital

Na zngine kibao
 
Nimeuliza maana kuna hospital nilienda c vema kuitaja doctor nlioambiwa kuwa ni specialist hakua vizuri katika fani hiyo ndio maana nilikua nataka kufahamu kupitia watu waliowahi kutibiwa na specialist yeyote mradi awe mzuri katika fani hiyo
 
Nimeuliza maana kuna hospital nilienda c vema kuitaja doctor nlioambiwa kuwa ni specialist hakua vizuri katika fani hiyo ndio maana nilikua nataka kufahamu kupitia watu waliowahi kutibiwa na specialist yeyote mradi awe mzuri katika fani hiyo

Hakuwa vizur how
 
Hakuwa vizuri vipi?

Tukikupa jina hilohilo ulilokutana nalo utarudi?

Dsm hospitali zote kubwa zina gynecologists kibao.

Ila pia acha ku shop madaktari, utachanganyikiwa.
Nimeuliza maana kuna hospital nilienda c vema kuitaja doctor nlioambiwa kuwa ni specialist hakua vizuri katika fani hiyo ndio maana nilikua nataka kufahamu kupitia watu waliowahi kutibiwa na specialist yeyote mradi awe mzuri katika fani hiyo
 
Hakuwa vizuri vipi?

Tukikupa jina hilohilo ulilokutana nalo utarudi?

Dsm hospitali zote kubwa zina gynecologists kibao.

Ila pia acha ku shop madaktari, utachanganyikiwa.

Well said kama uli google na ukaenda na diagnosis yako hospital hapa ndipo mnapofail wengi

Labda utuelewa hakuwa vizur kwann ili tukuelekeze kwa mwingine
 
Jamani naomba kujua ntampata wapi dr. Bingwa wa magonjwa ya kina mama hapa dar es salaam na gharama zake za kumuona hadi huduma msaada wapendwa
Agakhan yupo dr shafiq he is a good doctor anakuepo from monday to friday

All the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…