V vunjajungu JF-Expert Member Joined Nov 25, 2011 Posts 576 Reaction score 242 Jan 1, 2012 #1 Habari zenu wana jf,natafuta mashine ya kufulia isizidi ml 3,anaejua nitakapo ipata anijuze tafadhali,pia ningependa kujua uwezo wake.
Habari zenu wana jf,natafuta mashine ya kufulia isizidi ml 3,anaejua nitakapo ipata anijuze tafadhali,pia ningependa kujua uwezo wake.
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Jan 1, 2012 #2 Ungeweza kuanza kwa kuangalia mtandaoni ili uamue unataka yenye uwezo upi. Unless unataka kutoka kwa mtu anaetumia sasa. Halafu washing machine na dry cleaner ni vitu viwili tofauti.
Ungeweza kuanza kwa kuangalia mtandaoni ili uamue unataka yenye uwezo upi. Unless unataka kutoka kwa mtu anaetumia sasa. Halafu washing machine na dry cleaner ni vitu viwili tofauti.
Ulukolokwitanga JF-Expert Member Joined Sep 18, 2010 Posts 8,397 Reaction score 7,974 Jan 1, 2012 #3 Unahitaji ya kufanyia biashara au ya kufulia nguo za familia?
Ozzie JF-Expert Member Joined Oct 9, 2007 Posts 3,217 Reaction score 1,261 Jan 1, 2012 #4 Title ilifanya nifikirie wamtafuta mtu akufanyie usafi wa nguo! Kumbe watafuta mashine. Google kwanza ili upate makadirio ya gharama.
Title ilifanya nifikirie wamtafuta mtu akufanyie usafi wa nguo! Kumbe watafuta mashine. Google kwanza ili upate makadirio ya gharama.