K klorokwine JF-Expert Member Joined Nov 4, 2014 Posts 378 Reaction score 31 May 21, 2015 #1 Wakuu, Natafuta duka wanalouza miwani za urembo kwa bei ya jumla hapo kariakoo.Kwa anaefahamu tafadhali anifahamishe na mawasiliano yao kama yapo tafadhali.
Wakuu, Natafuta duka wanalouza miwani za urembo kwa bei ya jumla hapo kariakoo.Kwa anaefahamu tafadhali anifahamishe na mawasiliano yao kama yapo tafadhali.
TAI DUME JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 9,748 Reaction score 26,238 May 21, 2015 #2 cc faiza fox mtoto wa k/koo Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Pritty wa joseph JF-Expert Member Joined Jul 17, 2014 Posts 2,379 Reaction score 2,047 May 21, 2015 #3 agiza mwenyewe nnje
jay-millions JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 3,983 Reaction score 10,034 May 21, 2015 #4 Nenda kariakoo msikiti wa qiblatein kwenye maduka ya wachina
SaaMbovu JF-Expert Member Joined Oct 8, 2013 Posts 6,027 Reaction score 5,344 May 21, 2015 #5 pusha la magogoni said: Wakuu natafuta duka wanalouza miwani za urembo kwa bei ya jumla hapo kariakoo. Kwa anaefahamu tafadhali anifahamishe,na mawasiliano yao kama yapo tafadhali. Click to expand... Kariakoo ya Dar es Salaam au ya Musoma?
pusha la magogoni said: Wakuu natafuta duka wanalouza miwani za urembo kwa bei ya jumla hapo kariakoo. Kwa anaefahamu tafadhali anifahamishe,na mawasiliano yao kama yapo tafadhali. Click to expand... Kariakoo ya Dar es Salaam au ya Musoma?