Bei ya kawaida beach plot unaijua ni sh ngapi kwa mita moja ya mraba?Nawasalimu wanaforum wenzangu,
Kama kuna eneo la Beach kuanzia heka 2 kwenda mbele, mkoa wa Pwani, Tanga ama Zanzibar bei za kawaida kwa sisi waswahili tafadhali tuwasiliane, WhatsApp +255675308774
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwan mkuu inakuwaga sh ngap mira mojaa ya mraba? maana mdau anataka ekaa mbiliBei ya kawaida beach plot unaijua ni sh ngapi kwa mita moja ya mraba?
Kuanzia lini mnunuzi akajipangia bei?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwan mkuu inakuwaga sh ngap mira mojaa ya mraba? maana mdau anataka ekaa mbili
Ipo kigamboni billioni 4Nawasalimu wanaforum wenzangu,
Kama kuna eneo la Beach kuanzia heka 2 kwenda mbele, mkoa wa Pwani, Tanga ama Zanzibar bei za kawaida kwa sisi waswahili tafadhali tuwasiliane, WhatsApp +255675308774
Ipo kigamboni billioni 4
Mkuu, bado una hizi beach plots?Pwani bagamoyo sadan,milioni 25 kwa eka limepimwa na hati IPO.ambalo halijapimwa milioni 15