Natafuta eneo la Car Wash Dar

aBuwash

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2023
Posts
262
Reaction score
497
Hello wanjamii Kwa mtu yeyote ambaye anafaham sehem ambayo ipo sehem nzurii Kwa car wash hapa JIJINI DAR es salaam anifahamishe.

Kuhusu vigezo
Nataka iwe sehem ambayo ipo road inafikika kirahis na mtu anaweza kujua kama Kuna biashara ya car wash.
Ikiwa center itakuwa vizurii zaidi sehem ambayo Ina population kubwa ya watu na vyomb vya usafiri.

Naombeni sana msaada wenu.

Namba yangu 0789306258
Kodii isivuke laki tatu Kwa mwezii
 
Extrovert
 
Mtaji wako uko vipi? Sehemu zipo hadi za million 3 kwa mwezi.
 
Ngoja nikupe akili.....
Mimi ni mtu wa malori...iwapo utapata sehemu ya kutega malori yanayoingia jijini.....utapiga hela mpaka unitafute....
 
Mawasiliano yangu ni 0789306258
Kodi isivuke laki tatu Kwa mwezii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…