ExtrovertHello wanjamii Kwa mtu yeyote ambaye anafaham sehem ambayo ipo sehem nzurii Kwa car wash hapa JIJINI DAR es salaam anifahamishe.
Kuhusu vigezo
Nataka iwe sehem ambayo ipo road inafikika kirahis na mtu anaweza kujua kama Kuna biashara ya car wash.
Ikiwa center itakuwa vizurii zaidi sehem ambayo Ina population kubwa ya watu na vyomb vya usafiri.
Naombeni sana msaada wenu
Mtaji wako uko vipi? Sehemu zipo hadi za million 3 kwa mwezi.Hello wanjamii Kwa mtu yeyote ambaye anafaham sehem ambayo ipo sehem nzurii Kwa car wash hapa JIJINI DAR es salaam anifahamishe.
Kuhusu vigezo
Nataka iwe sehem ambayo ipo road inafikika kirahis na mtu anaweza kujua kama Kuna biashara ya car wash.
Ikiwa center itakuwa vizurii zaidi sehem ambayo Ina population kubwa ya watu na vyomb vya usafiri.
Naombeni sana msaada wenu
Ngoja nikupe akili.....Hello wanjamii Kwa mtu yeyote ambaye anafaham sehem ambayo ipo sehem nzurii Kwa car wash hapa JIJINI DAR es salaam anifahamishe.
Kuhusu vigezo
Nataka iwe sehem ambayo ipo road inafikika kirahis na mtu anaweza kujua kama Kuna biashara ya car wash.
Ikiwa center itakuwa vizurii zaidi sehem ambayo Ina population kubwa ya watu na vyomb vya usafiri.
Naombeni sana msaada wenu
Kuna akili gani hapo? Wacgina watasaje wanao tuletea kila kitu? Bon go Biashara za kutumia akili zinahesabika , huku kumejaaa uchuuziNgoja nikupe akili.....
Mimi ni mtu wa malori...iwapo utapata sehemu ya kutega malori yanayoingia jijini.....utapiga hela mpaka unitafute....
Duuh...mwanangu sijakuelewa...au uko bwiii nini......Kuna akili gani hapo? Wacgina watasaje wanao tuletea kila kitu? Bon go Biashara za kutumia akili zinahesabika , huku kumejaaa uchuuzi
Mkuu unataka kufungua car wash au bodaboda wash????Mtaji sio mkubwa 5M kikubwa nipate ENEO amabalo lipo sehemu nzurii