Natafuta eneo la jiko la kufanyia biashara

SamuraiJack

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2017
Posts
225
Reaction score
239
Habari za asubuhi wadau?
Natafuta eneo la jiko la kukodisha kwenye bar au eneo lolote lenye mzunguko wa watu.
Mwenye info ani PM.
 
Mbona hujasema mkoa gani ? Au popote nchini unaenda ? Hata kwa kina Muraa..[emoji41][emoji41][emoji41] ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…