Natafuta eneo la kuchimba Bwawa la kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya kilimo

Natafuta eneo la kuchimba Bwawa la kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya kilimo

Joined
May 25, 2009
Posts
32
Reaction score
16
Habari wana jamii. Ninahitaji eneo kubwa popote nchini ambalo nitauziwa kwa bei poa ili nichimbe bwawa kubwa la kuvunia maji ya mvua kwa ajili ya kilimo. Naweza pata wapi ndugu zangu. MI ninaishi Arusha. Ahsanteni sana
 
Ukilipata Mwanza, na shamba lako likawa Arusha itakuwaje? We sema unataka shamba kubwa ambapo kuna uwezekano wa kuchimba bwawa kwa ajili ya umwagiliaji. Kama ndo hivyo funguka.
 
Back
Top Bottom